sw.news

Askofu Wa Austria Ana Kasula Angavu

Jumba la Makumbusho la Makao ya Watawa ya Admont ya Wabenedikti, Austria, limeonyesha mali ya Askofu mpya wa Innsbruck, Hermann Glettler ambaye alitiwa wakfu mnamo mwezi Desemba mwaka wa 2017.
Miongoni mwa mali hiyo ni picha ya mnamo mwaka wa 2004 ya Glettler akiwa amevalia "kasula" angavu iliyotengenezwa kwa plastiki. Picha hiyo pia imo kwenye ukurasa wa kwanza wa daftari ya jumba hilo la Makumbusho.
Gletter ana imani katika makasisi wa kike. Kuteuliwa kwake kulisifiwa kwa kina na vyombo vya habari.
#newsKjnocdvrkq

273
sw.cartoon

Francis Alisema Mnamo Mwaka Wa 2016: Kuna "Uaminifu" Katika Wenzi Wanaoishi Pamoja Na Wamo Katika "Ndoa Halisi"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsPanpsvcqez

130
oarielvillar

Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson.
Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson

49:37
1elfu 15
Lila San Car

Cómo le puede gustar el caitudo a Laura! Para gustos los colores!!! .🤪😍💜💙💚🖤♥️💛🧡❤️.. jajajaja! ....porque no le das un buen bofetón!!! jajajaja!!!!pobre Laura! 💔, El chico gusta de Mary!!!!

Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

Solid Truth

Wake Up!!!

02:36
76

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

42
sw.news

Papa Francis Asimamia Kanisa Onevu

Siku ileile Padre Thomas Weinady alichapisha barua yakekwa Papa Francis, mkutano wa Maaskofu wa Marekani ulimfuta kama mshauri wake.
Padre Mwingereza John Hunwicke alisema kwaliturgicalnotes.blogspot.com, "Urahisi na ujeuri huu wa Ibada ya aibu ulifuatwa kwa kiasi cha Papa Francis kusimamia Kanisa onevu ambalo maaskofu mbilikimo na makadinali wadogo huwania ushindi wa kiwango cha masifu. Kwa kweli kama vile Tom Weinandy alisema. "
Picha: John Hunwicke, #newsAgdocdufuq

97
sw.cartoon

Sauti Tulivu Hazikaribishwa Katika Vatikani Ya Papa Francis.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIunzxneznl

119
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
27
Guntherus de Thuringia

Mr. Lumumba Amin
facebook.com/share/v/18s5PgWDmw/

05:49
9
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
163
sw.news

Marekebisho Ya Fedha Za Vatikani Yashuhudia "Kinyume Halisi"

Mtaalamu ambaye hajatambulishwa alimwambia Edward Pentin (Aprili 27) kwamba marekebisho yanayosemekana ya Fedha za Vatikani yamefeli.
Kulingana naye, kesi kadhaa za jinai za kifedha zilifichuliwa katika miaka ya kwanza ya upapa wa Francis, ila hayakushtakiwa.
Afisi ya "Mfadhili wa Haki" huchagua kesi chache tu huku ikizipuuza zingine.
Msemaji huyo aliongeza kuwa, "Ingawaje hakuna mtu anayetaka kukiri jambo hili, kwa ufanisi tunashuhudia kinyume cha utaratibu wa marekebisho ya miaka mitano iliyopita."
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsZkjlvceinz

540
sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

134
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

159
Denis Efimov

Así es.

sw.news

Kadinali Wa Francis Amlinda Askofu Msaidizi Anayekumbwa Na Utata

Askofu msaidizi Juan Pineda wa Tegucigalpa, Honduras, juishi maisha ya kifahari ambayo huhusisha umiliki wa magari kadhaa ya kifahari na safari za mara kwa mara za ndege za kifahari, Edward Pentin aliripoti (Aprili 27).
Hata hivyo, Pineda hubaki katika wadhfa wake kwa ulinzi wake Kadinali wa Tegucigalpa Oscar Rodríguez Maradiaga, rafiki wa karibu wa Pineda ambaye pia ni mratibu wa Baraza la Makadinali na mwanapropaganda wa itikadi za "ufukara" za Francis.
Kulingana na Pentin, Pineda alihusika katika kutoweka kwa Dola milioni 1.3 ambazo zilitolewa na serikali ya Hondura kwa miradi ya msaada ya Kanisa. Fedha hizo ziliwekwa ila hazikupitia utaratibu wa kawaida wa kifedha wa dayosisi hiyo na hatimaye "zikatoweka".
Pineda alijaribu kueleza zilivotumika pesa hizo, lakini ripoti yake haikutoa hati za invoisi, vocha wala hati zozote.
Mwezi uliopita, Pentin alifichua kwamba Pineda amekashifiwa na wanaseminari wa zamani kwa shutma za dhulma za kishoga.
Picha: Juan Pineda, © House Committee on …Zaidi

651
sw.cartoon

Kulingana Na Ripoti, Papa Francis Awatupia Hasira Wafuasi Wake.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsQbutcrtblx

136
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
12
sw.news

Sarah: Bado Vatikani Ndiyo Yenye Mamlaka Juu Ya Utafsiri

Licha ya kutolewa kwa Magnum Principium bado Vatikani ndiyo yenye kauli kuu juu ya utafsiri wa kiliturujia.
Kadinali Robert Sarah, Kinara wa Shirika la Uabudu Takatifu, aliandika mnamo tarehe 1 mwezi Oktoba katika L’Homme Nouveau kuwa mabadiliko yote na utafsiri wa maandiko ya kiliturujia yanastahili kuidhinishwa na Vatikani.
Hata hivyo Sara alifutwa kazi rasmi kama Kinara wa Shirika la Uabudu Takatifu na huenda shirika hilo likapuuzwa na mabaraza ya Maaskofu
Picha: Robert Sarah, © Lawrence OP, CC BY-NC-ND, #newsRenohrrsom

119